Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Petro 2:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 “Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 “Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.”

Tazama sura Nakili




1 Petro 2:22
16 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki: kwa sababu nimeteswa mengi leo katika udoto kwa ajili yake.


akinena, Nalikosa nilipoisaliti damu isiyo na khatiya. Wakanena, Bassi, haya yatukhussu nini sisi? Tazama wewe hayo.


Na sisi kweli ina haki; kwa maana sisi tunalipwa ijara ya haki ya matendo yetu: bali huyu hakutenda neno lisilofaa.


Akida alipoona lililokuwa, akamtukuza Mungu, akisema, Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwenye haki.


Yesu akamwona Nathanaeli akija kwake, akamtaja khabari zake, Tazama, huyu ni Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


Nani wenu anishuhudiae kuwa nina dhambi? Nikisema kweli, mbona ninyi hamniamini?


Maana alimfanya yeye asiyejua dhambi kuwa dhambi kwa ajili vefu, illi sisi tuwe haki ya Mungu katika Yeye.


Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuyachukua mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijuribiwa sawa sawa na sisi katika mambo yote, bila dhambi.


kadhalika Kristo, akiisha kutolewa sadaka marra moja aziondoe dhambi za watu wengi, marra ya pili, pasipo dhambi, ataonekana nao wamtazamiao kwa wokofu.


WATOTO wangu wadogo, nawaandikia haya illi msitende dhambi. Na ijapo mtu akatenda dhambi tuna Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Na mnajua ya kuwa yeye alidhihiri, illi aziondoe dhambi zetu; na dhambi haimo ndani yake.


Na katika vinywa vyao haikuonwa bila. Maana hawana mawaa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo