1 Petro 2:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 kwa sababu ndio mapenzi ya Mungu, kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu wapumbavu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Maana Mungu anataka muweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Maana Mungu anataka muweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Maana Mungu anataka muweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kwa maana ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda mema myanyamazishe maneno ya kijinga ya watu wapumbavu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kwa maana ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda mema mnyamazishe maneno ya kijinga ya watu wapumbavu. Tazama sura |