Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 8:18 - Swahili Revised Union Version

Tena neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi lilinijia mimi Zekaria:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi lilinijia mimi Zekaria:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi lilinijia mimi Zekaria:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni likanijia tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 8:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

wala mtu wa kwenu asiwaze mabaya moyoni mwake juu ya jirani yake; wala msipende kiapo cha uongo; maana hayo yote ndiyo niyachukiayo, asema BWANA.


BWANA wa majeshi asema hivi, Saumu ya mwezi wa nne, na saumu ya mwezi wa tano, na saumu ya mwezi wa saba, na saumu ya mwezi wa kumi, zitakuwa furaha na shangwe, na sikukuu za kuchangamkia, kwa nyumba ya Yuda; basi zipendeni kweli na amani.


BWANA wa majeshi asema hivi, Mikono yenu na iwe hodari, ninyi mnaosikia siku hizi maneno haya kwa vinywa vya manabii, waliokuwapo siku hiyo ulipowekwa msingi wa nyumba ya BWANA wa majeshi; yaani, hekalu hilo; ili lijengwe.


Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.


Wakatafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwako baada ya hayo.