Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 4:8 - Swahili Revised Union Version

Tena neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha neno la Mwenyezi Mungu likanijia:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha neno la bwana likanijia:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 4:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nani wewe, Ee mlima mkubwa? Mbele ya Zerubabeli utakuwa nchi tambarare; naye atalileta lile jiwe la kuwekwa juu kabisa pamoja na vigelegele vya, Neema, neema, ilikalie.


Mikono yake Zerubabeli imeiweka misingi ya nyumba hii, na mikono yake ndiyo itakayoimaliza; nawe utajua ya kuwa BWANA wa majeshi amenituma kwenu.


Nao walio mbali watakuja na kusaidia kujenga hekalu la BWANA, nanyi mtajua ya kuwa BWANA wa majeshi amenituma kwenu. Na haya yatatokea, kama mkijitahidi kuitii sauti ya BWANA, Mungu wenu.