Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 81:9 - Swahili Revised Union Version

Usiwe na mungu mgeni ndani yako; Wala usimsujudie mungu mwingine.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Asiwepo kwako mungu wa kigeni; usiabudu kamwe mungu mwingine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Asiwepo kwako mungu wa kigeni; usiabudu kamwe mungu mwingine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Asiwepo kwako mungu wa kigeni; usiabudu kamwe mungu mwingine.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiwe na mungu mgeni ndani yako; Wala usimsujudie mungu mwingine.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 81:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya akasema, Sikia basi neno la BWANA; Nilimwona BWANA ameketi katika kiti chake cha enzi, na jeshi lote la mbinguni wamesimama upande wa mkono wake wa kulia na wa kushoto.


Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu, Au kumnyoshea mungu mgeni mikono yetu;


Sikieni, enyi watu wangu, nami nitanena, Mimi nitakushuhudia, Israeli; Mimi ndimi niliye MUNGU, Mungu wako.


akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yoyote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.


Tegeni masikio, sikieni sauti yangu, sikilizeni mkasikie neno langu.


Nimetangaza habari, nimeokoa, nimeonesha, na hapakuwa mungu wa kigeni kati yenu; kwa sababu hiyo ninyi ni mashahidi wangu, asema BWANA, nami ni Mungu.


Lisikieni neno la BWANA, enyi wana wa Israeli; kwa maana BWANA ana shutuma nao wakaao katika nchi, kwa sababu hapana kweli, wala fadhili, wala kumjua Mungu katika nchi.


Yuda ametenda kwa hiana, na chukizo limetendeka katika Israeli, na katika Yerusalemu; maana Yuda ameunajisi utakatifu wa BWANA aupendao, naye amemwoa binti ya mungu mgeni.


BWANA peke yake alimwongoza, Wala hapakuwa na mungu mgeni pamoja naye.


Msifuate miungu mingine katika miungu ya mataifa wawazungukao;