Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 13:5 - Swahili Revised Union Version

Lakini mimi nimezitumainia fadhili zako; Moyo wangu na uufurahie wokovu wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mimi nazitumainia fadhili zako; moyo wangu na ufurahie wokovu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mimi nazitumainia fadhili zako; moyo wangu na ufurahie wokovu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mimi nazitumainia fadhili zako; moyo wangu na ufurahie wokovu wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini ninategemea upendo wako usiokoma; moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini ninategemea upendo wako usiokoma; moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mimi nimezitumainia fadhili zako; Moyo wangu na uufurahie wokovu wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 13:5
18 Marejeleo ya Msalaba  

Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako.


BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.


Ee Mungu wangu, Nimekutumainia Wewe, nisiaibike, Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.


Naye mtu mwovu ana mapigo mengi, Bali amtumainiaye BWANA fadhili zitamzunguka.


Tazama, jicho la BWANA li kwao wamchao, Wazingojeao fadhili zake.


Ee Mungu, jinsi zilivyo na thamani fadhili zako! Wanadamu huukimbilia uvuli wa mbawa zako.


Kwa maana mimi ni karibu na kusita, Na maumivu yangu yako mbele yangu daima.


Unirudishie furaha ya wokovu wako; Unitegemeze kwa roho ya upendo.


Bali mimi ni kama mzeituni Umeao katika nyumba ya Mungu. Nazitumainia fadhili za Mungu milele na milele.


Ili nizisimulie sifa zako zote; Katika malango ya binti Sayuni Nitaufurahia wokovu wako.


Tazama, Mungu ndiye wokovu wangu; Nitatumaini wala sitaogopa; Maana BWANA YEHOVA ni nguvu zangu na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu.


Walakini nitamfurahia BWANA Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.


Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;


Wale wachungaji wakarudi, huku wanamtukuza Mungu na kumsifu kwa mambo yote waliyosikia na kuyaona, kama walivyoambiwa.


jilindeni katika upendo wa Mungu, huku mkingojea rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo, hata mpate uzima wa milele.


Naye Hana akaomba, akasema, Moyo wangu wamshangilia BWANA, Pembe yangu imetukuka katika BWANA, Kinywa changu kimepanuka juu ya adui zangu; Kwa kuwa naufurahia wokovu wako;