Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:37 - Swahili Revised Union Version

Kedeshi, Edrei, Enhasori;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kedeshi, Edrei, En-hazori,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kedeshi, Edrei, En-hazori,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kedeshi, Edrei, En-hazori,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kedeshi, Edrei, Enhasori;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:37
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku za Peka mfalme wa Israeli akaja Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru, akatwaa Iyoni, na Abel-beth-maaka, na Yanoa, na Kedeshi, na Hazori, na Gileadi, na Galilaya, nchi yote ya Naftali; akawahamisha hao watu mpaka Ashuru.


na mfalme wa Kedeshi, mmoja; mfalme wa Yokneamu wa Karmeli, mmoja;


Adama, Rama Hazori;


Ironi, Migdal-eli, Horemu, Bethanathi na Beth-shemeshi; miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.


Nao wakaweka Kedeshi katika Galilaya katika nchi ya vilima ya Naftali, na Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na Kiriath-arba (ndio Hebroni) katika nchi ya vilima ya Yuda.


Tena katika kabila la Naftali, Kedeshi katika Galilaya pamoja na mbuga zake za malisho, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji, na Hamoth-dori pamoja na mbuga zake za malisho, na Kartani pamoja na mbuga zake za malisho; miji mitatu.


Siku moja Debora akatuma mtu akamwita Baraka wa Abinoamu kutoka Kedesh-Naftali, akamwambia, BWANA, Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: “Nenda, ukawaogoze watu elfu kumi na wana wa Naftali, na wa wana wa Zabuloni, ili washike doria katika mlima Tabori”.