Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yona 4:1 - Swahili Revised Union Version

Lakini jambo hili lilimchukiza Yona sana, naye akakasirika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini jambo hilo halikumpendeza Yona hata kidogo, akakasirika sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini jambo hilo halikumpendeza Yona hata kidogo, akakasirika sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini jambo hilo halikumpendeza Yona hata kidogo, akakasirika sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Yona alichukizwa sana akakasirika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Yona alichukizwa sana akakasirika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini jambo hili lilimchukiza Yona sana, naye akakasirika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yona 4:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye BWANA akasema, Je! Unatenda vema kukasirika?


Mungu akamwambia Yona, Je! Unatenda vema kukasirika kwa ajili ya mtango? Naye akasema, Ndiyo, natenda vema kukasirika hata kufa.


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?


Akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi babaye alitoka nje, akamsihi.


Basi, yule Farisayo aliyemwalika alipoona vile, alisema moyoni mwake, Mtu huyu kama angekuwa nabii, angemtambua mwanamke huyu amgusaye, ni nani, naye ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi.


Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujiona ninyi wenyewe kuwa hamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia Mataifa.