Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:45 - Swahili Revised Union Version

Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana nyinyi hamniamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana nyinyi hamniamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana nyinyi hamniamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kwa sababu nimewaambia kweli, hamkuniamini!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kwa sababu nimewaambia kweli hamkuniamini!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:45
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Pilato akamwambia, Wewe u mfalme basi? Yesu akajibu, Wewe wasema, kwa kuwa mimi ni mfalme. Mimi nimezaliwa kwa ajili ya haya, na kwa ajili ya haya mimi nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Kila aliye wa hiyo kweli hunisikia sauti yangu.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Ni nani miongoni mwenu anishuhudiaye ya kuwa nina dhambi? Nami nikisema kweli, mbona ninyi hamnisadiki?


Je! Nimekuwa adui yenu kwa sababu nawaambia yaliyo kweli?


na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.