Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:36 - Swahili Revised Union Version

Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:36
12 Marejeleo ya Msalaba  

Uzielekeze hatua zangu kwa neno lako, Uovu usije ukanimiliki.


Nitakwenda mbio katika njia ya maagizo yako, Utakaponipanulia ufahamu wangu.


Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.


Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubirie wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwatibu waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.


Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.


Kwa maana yeye aliyeitwa katika Bwana hali ya utumwa, ni huru wa Bwana. Vivyo hivyo yeye naye aliyeitwa hali ya uhuru, ni mtumwa wa Kristo.


Basi “Bwana” ndiye Roho; lakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.


Katika uhuru huo Kristo alituweka huru; kwa hiyo simameni, wala msinaswe tena chini ya kongwa la utumwa.