Naye alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya, aliona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.
Yohana 6:8 - Swahili Revised Union Version Wanafunzi wake mmojawapo, Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, Biblia Habari Njema - BHND Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, Neno: Bibilia Takatifu Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, ndugu yake Simoni Petro, akamwambia, Neno: Maandiko Matakatifu Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, ndugu yake Simoni Petro, akamwambia, BIBLIA KISWAHILI Mwanafunzi wake mmojawapo, Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, |
Naye alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya, aliona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.