Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:48 - Swahili Revised Union Version

Mimi ndimi chakula cha uzima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi ni mkate wa uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi ni mkate wa uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi ni mkate wa uhai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi ni mkate wa uzima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi ni mkate wa uzima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi ndimi chakula cha uzima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:48
6 Marejeleo ya Msalaba  

Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.


Basi Wayahudi wakamnung'unikia, kwa sababu alisema, Mimi ni chakula kilichoshuka kutoka mbinguni.


Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.