Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:43 - Swahili Revised Union Version

Basi Yesu akajibu, akawaambia, Msinung'unike ninyi kwa ninyi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaambia, “Acheni kunungunika nyinyi kwa nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaambia, “Acheni kunungunika nyinyi kwa nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaambia, “Acheni kunung'unika nyinyi kwa nyinyi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo Isa akawaambia, “Acheni kunung’unikiana ninyi kwa ninyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Isa akawaambia, “Acheni kunung’unikiana ninyi kwa ninyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yesu akajibu, akawaambia, Msinung'unike ninyi kwa ninyi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:43
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana ninyi kwa ninyi, enyi wa imani haba, kwa sababu hamna mikate?


Wakafika Kapernaumu; hata alipokuwamo nyumbani, akawauliza, Mlishindania nini njiani?


Yesu alifahamu ya kwamba wanataka kumwuliza, akawaambia, Ndilo hilo mnaloulizana, ya kuwa nilisema, Bado kitambo kidogo nanyi hamnioni, na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona?


Wakasema, Je! Huyu siye Yesu, mwana wa Yusufu, ambaye twamjua babaye na mamaye? Sasa asemaje huyu, Nimeshuka kutoka mbinguni?


Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenituma; nami nitamfufua siku ya mwisho.


Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni nani atakayemsaliti.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.