Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:49 - Swahili Revised Union Version

Yule ofisa akamwambia, Bwana, ushuke mtoto wangu asije akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo ofisa akamwambia, “Bwana, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo ofisa akamwambia, “Bwana, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo ofisa akamwambia, “Bwana, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule afisa wa mfalme akamwambia, “Bwana, tafadhali shuka kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule afisa wa mfalme akamwambia, “Bwana, tafadhali shuka kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule ofisa akamwambia, Bwana, ushuke mtoto wangu asije akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:49
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nami ni maskini na mhitaji, Bwana atanitunza. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Mungu wangu, usikawie.


akimsihi sana, akisema, Binti yangu mdogo yuko karibu kufa; nakuomba uje, uweke mkono wako juu yake, apate kupona, na kuishi.


Basi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa?


Yesu akamwambia, Nenda; mwanao yu hai. Mtu yule akaliamini lile neno aliloambiwa na Yesu, naye akashika njia.