Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:37 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana hapo neno hilo huwa kweli, Mmoja hupanda akavuna mwingine.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo ule msemo, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo kule kusema, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana hapo neno hilo huwa kweli, Mmoja hupanda akavuna mwingine.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:37
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi na nipande, mwingine ale; Naam, mazao ya shamba langu na yang'olewe.


Utapanda, lakini hutavuna; utazikanyaga zeituni, lakini hutajipaka mafuta; na hizo zabibu, lakini hutakunywa divai.


Kwa maana nilikuogopa kwa kuwa u mtu mgumu; wachukua usichoweka, wavuna usichopanda.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.


Naye avunaye hupokea mshahara, na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, ili yeye apandaye na yeye avunaye wapate kufurahi pamoja.


Mimi niliwatuma myavune yale msiyoyataabikia; wengine walitaabika, nanyi mmeingia katika taabu yao.


Basi ikawa, hapo Israeli walipokuwa wamepanda mashamba, Wamidiani wakakwea, na Waamaleki, na hao wana wa mashariki; wakawavamia;