Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:24 - Swahili Revised Union Version

Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu ni roho, na watu wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa Roho na ukweli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu ni roho, na watu wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa Roho na ukweli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu ni roho, na watu wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa Roho na ukweli.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu ni Roho, na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu ni Roho na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA yuko karibu na wote wamwitao, Wote wamwitao kwa uaminifu.


Atoaye dhabihu za kushukuru, Ndiye anayenitukuza. Naye autengenezaye mwenendo wake, Nitamwonesha wokovu wa Mungu.


Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.


Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.


Kwa maana kujisifu kwetu ni huku, ushuhuda wa dhamiri yetu, ya kwamba kwa utakatifu na weupe wa moyo utokao kwa Mungu; si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya Mungu; tulienenda katika dunia, na hasa kwenu ninyi.


Basi “Bwana” ndiye Roho; lakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili.


Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.


Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.