Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:13 - Swahili Revised Union Version

Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki, ataona kiu tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akalia, akasema, Ee baba Abrahamu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, aupoze ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.


Je! Wewe u mkubwa kuliko baba yetu, Yakobo, aliyetupa kisima hiki, naye mwenyewe akanywa maji yake, na wanawe pia, na wanyama wake?


lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.