Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 2:17 - Swahili Revised Union Version

Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu wa nyumba yako utanila.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: “Upendo wangu kwa nyumba yako waniua.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: “Upendo wangu kwa nyumba yako waniua.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: “Upendo wangu kwa nyumba yako waniua.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wake wakakumbuka kuwa imeandikwa: “Wivu wa nyumba yako utanila.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wake wakakumbuka kuwa imeandikwa: “Wivu wa nyumba yako utanila.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu wa nyumba yako utanila.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 2:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Juhudi yangu imeniangamiza, Maana watesi wangu wameyasahau maneno yako.


Maana mvuto wa nyumba yako umenila, Na laumu zao wanaokulaumu zimenipata.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Basi alipofufuka katika wafu, wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa alisema hivi, wakaliamini lile andiko na lile neno alilolinena Yesu.