Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 19:16 - Swahili Revised Union Version

Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulubiwe; nao wakampokea Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo, Pilato akamtia Yesu mikononi mwao ili asulubiwe. Basi, wakamchukua Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo, Pilato akamtia Yesu mikononi mwao ili asulubiwe. Basi, wakamchukua Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo, Pilato akamtia Yesu mikononi mwao ili asulubiwe. Basi, wakamchukua Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Pilato akamkabidhi Isa kwao ili wamsulubishe. Kwa hiyo askari wakamchukua Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Pilato akamkabidhi Isa kwao ili wamsulubishe. Kwa hiyo askari wakamchukua Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulubiwe; nao wakampokea Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 19:16
3 Marejeleo ya Msalaba