Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 18:9 - Swahili Revised Union Version

Ili litimizwe lile neno alilolisema, Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja wao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: “Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.”)

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: “Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.”)

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: “Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.”)

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili litimizwe lile neno alilolisema, Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja wao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 18:9
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nilipokuwapo pamoja nao, mimi niliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie.


Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao.


Na mapenzi yake aliyenituma ni haya, ya kwamba katika wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali nimfufue siku ya mwisho.