Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 12:30 - Swahili Revised Union Version

Yesu akajibu, akasema, Sauti hiyo haikuwako kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akawaambia, “Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akawaambia, “Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akawaambia, “Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawaambia, “Sauti hii imesikika kwa faida yenu, wala si kwa faida yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia, “Sauti hii imesikika kwa faida yenu, wala si kwa faida yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akajibu, akasema, Sauti hiyo haikuwako kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 12:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini; lakini na twendeni kwake.


Nami nilijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nilisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.


Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.


Si kwamba ninaupokea ushuhuda wa wanadamu; lakini ninasema haya ili ninyi mpate kuokoka.


Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.