Yesu akamwambia, Ndugu yako atafufuka.
Yesu akamwambia, “Kaka yako atafufuka.”
Isa akamwambia, “Ndugu yako atafufuka.”
Lakini hata sasa najua ya kuwa yoyote utakayomwomba Mungu, Mungu atakupa.
Martha akamwambia, Najua ya kuwa atafufuka katika ufufuo siku ya mwisho.
Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?