Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 7:5 - Swahili Revised Union Version

Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwili wangu umejaa mabuu na uchafu; ngozi yangu imekauka na kutokwa na usaha wa jipu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwili wangu umejaa mabuu na uchafu; ngozi yangu imekauka na kutokwa na usaha wa jipu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwili wangu umejaa mabuu na uchafu; ngozi yangu imekauka na kutokwa na usaha wa jipu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu, ngozi yangu imetumbuka na kutunga usaha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu, ngozi yangu imetumbuka na kutunga usaha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 7:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.


Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na dada yangu;


Jicho langu nalo limekuwa giza kwa sababu ya majonzi, Na viungo vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.


Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.


Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;


Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.


Lakini utanitupa shimoni, Nami hata nguo zangu zitanichukia.


Toka wayo wa mguu hadi kichwani hamna uzima ndani yake; bali jeraha na machubuko na vidonda vitokavyo usaha; havikufungwa, havikuzongwazongwa, wala havikulainishwa kwa mafuta.


Fahari yako imeshushwa hadi kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.


Nao watatoka nje na kuitazama mizoga ya watu walioniasi; maana funza wao hatakufa, wala moto wao hautazimika nao watakuwa chukizo machoni pa wote wenye mwili.


Na huko mtazikumbuka njia zenu, na matendo yenu yote, ambayo mmejitia unajisi kwayo; nanyi mtajichukia katika macho yenu wenyewe, kwa sababu ya maovu yenu yote mliyoyatenda.


Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na wadudu, akatokwa na roho.