Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 22:12 - Swahili Revised Union Version

bali katika mahali pale walipomchukua mateka ndipo atakapokufa, wala hataiona nchi hii tena kamwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

bali atafia hukohuko walikomchukua utumwani. Kamwe hataiona tena nchi hii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

bali atafia hukohuko walikomchukua utumwani. Kamwe hataiona tena nchi hii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

bali atafia hukohuko walikomchukua utumwani. Kamwe hataiona tena nchi hii.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atafia huko mahali walipompeleka kuwa mateka; hataiona tena nchi hii.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atafia huko mahali walipompeleka kuwa mateka; hataiona tena nchi hii.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

bali katika mahali pale walipomchukua mateka ndipo atakapokufa, wala hataiona nchi hii tena kamwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 22:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku zake, Farao Neko, mfalme wa Misri, akakwea ili kupigana na mfalme wa Ashuru, akafika mto Frati; naye mfalme Yosia akaenda kupigana naye; naye mfalme wa Misri akamwua huko Megido, hapo alipoonana naye.


Farao Neko akamfanya Eliakimu mwana wa Yosia awe mfalme mahali pa Yosia babaye, akambadilisha jina lake kuwa Yehoyakimu, lakini akamwondoa Yehoahazi; akaenda naye Misri, naye akafa huko.


Basi, BWANA asema hivi, kuhusu habari za Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda; Hawatamwombolezea, wakisema, Aa! Ndugu yangu; au, Aa! Dada yangu; wala hawatamlilia, wakisema, Aa! Bwana wangu; au, Aa! Utukufu wake.


Lakini nchi ile ambayo wanatamani kuirudia, hawatairudia kamwe.


Maana BWANA wa majeshi Mungu wa Israeli, asema hivi, Kama hasira yangu, na ghadhabu yangu, ilivyomwagwa juu ya hao wakaao Yerusalemu, ndivyo ghadhabu yangu itakavyomwagwa juu yenu, mtakapoingia Misri; nanyi mtakuwa apizo, na ajabu, na laana, na aibu; wala hamtapaona mahali hapa tena.


Nanyi mtaangamia kati ya mataifa, na nchi ya adui zenu itawameza.