Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 8:19 - Swahili Revised Union Version

Kisha akamchinja; na Musa akainyunyiza damu yake katika madhabahu pande zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose akamchinja na damu ya kondoo huyo akairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose akamchinja na damu ya kondoo huyo akairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose akamchinja na damu ya kondoo huyo akairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Musa akamchinja yule kondoo dume na kunyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Musa akamchinja yule kondoo dume na kunyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha akamchinja; na Musa akainyunyiza damu yake katika madhabahu pande zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 8:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakawachinja ng'ombe, na makuhani wakaipokea damu, wakainyunyiza madhabahuni; wakawachinja kondoo dume, na kuinyunyiza damu madhabahuni; wakawachinja na wana-kondoo, na kuinyunyiza damu madhabahuni.


Naye atamchinja hapo upande wa madhabahu ulioelekea kaskazini mbele za BWANA; na wana wa Haruni, hao makuhani, watainyunyiza damu yake juu ya madhabahu pande zote.


Kisha akamsongeza yule kondoo dume wa sadaka ya kuteketezwa; na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao kichwani mwa huyo kondoo.


Kisha akamkata kondoo vipande vyake; na Musa akateketeza kichwa, na vile vipande, na mafuta.


Na ile hema nayo na vyombo vyote vya ibada alivinyunyizia damu vivyo hivyo.