Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 21:13 - Swahili Revised Union Version

Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Mwanamke atakayeolewa na kuhani lazima awe bikira.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 21:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hawataoa wanawake wajane, wala mwanamke aliyeachwa na mume wake; lakini watatwaa mabikira wa wazao wa nyumba ya Israeli, au mjane aliyefiwa na mumewe kuhani.


wala asitoke katika mahali patakatifu, wala asipatie unajisi mahali patakatifu pa Mungu wake; kwa kuwa utakaso wa hayo mafuta ya kutiwa ya Mungu wake uko juu yake; mimi ndimi BWANA.


Asitwae mjane, wala mwanamke aliyeachwa na mumewe, wala mwanamke mwenye unajisi, wala kahaba; lakini atamwoa mwanamwali katika watu wake mwenyewe.


Wasimwoe mwanamke aliye kahaba, au huyo aliye mwenye unajisi; wala wasimwoe mwanamke aliyeachwa na mumewe; kwa kuwa yeye kuhani ni mtakatifu kwa Mungu wake.


Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa niliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.


Hawa ndio wasiojitia unajisi na wanawake, kwa maana ni bikira. Hawa ndio wamfuatao Mwana-kondoo kila aendako. Hawa wamenunuliwa katika wanadamu, malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-kondoo.