Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 13:54 - Swahili Revised Union Version

ndipo kuhani ataamuru kwamba wakifue kitu kile kilicho na hilo pigo, naye atakiweka mahali muda wa siku saba tena;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ataagiza kwamba vazi lenye maambukizo lisafishwe. Kisha atalitenga kwa siku nyingine saba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ataagiza kwamba kifaa chenye maambukizo kisafishwe. Kisha atakitenga kwa siku saba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ndipo kuhani ataamuru kwamba wakifue kitu kile kilicho na hilo pigo, naye atakiweka mahali muda wa siku saba tena;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 13:54
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na kama kuhani akitazama, ikiwa hilo pigo halikuenea katika hilo vazi, wala katika hilo lililofumwa, wala katika hilo lililosokotwa, wala katika kitu chochote cha ngozi;


kisha kuhani ataangalia, baada ya kuoshwa hilo pigo; ikiwa hilo pigo halikugeuka rangi yake, wala halikuenea, ni najisi; utaliteketeza; ni uharibifu likiwa lina doa ndani au nje.