Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 13:14 - Swahili Revised Union Version

Lakini popote kitakapoonekana kidonda kibichi kwake mtu huyo, atakuwa yu najisi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kukionekana mwilini mwa mtu huyo kidonda kibichi, basi, mtu huyo atakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kukionekana mwilini mwa mtu huyo kidonda kibichi, basi, mtu huyo atakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kukionekana mwilini mwa mtu huyo kidonda kibichi, basi, mtu huyo atakuwa najisi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini itokeapo nyama mbichi kwenye ngozi yake, atakuwa najisi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini itokeapo nyama mbichi kwenye ngozi yake, atakuwa najisi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini popote kitakapoonekana kidonda kibichi kwake mtu huyo, atakuwa yu najisi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 13:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

naye kuhani ataangalia, ikiwa pana uvimbe mweupe katika ngozi yake, na mnywele zimegeuzwa kuwa nyeupe, tena ikiwa panafanyika kidonda katika ule uvimbe,


ndipo huyo kuhani ataangalia; ikiwa ukoma umemwenea mwili wake wote, atasema kuwa ni safi huyo aliye na hilo pigo, ikiwa ngozi yake yote imegeuka kuwa nyeupe, naye akawa safi.


Kuhani atakiangalia hicho kidonda kibichi, naye atasema kuwa ni najisi; kile kidonda kibichi ni najisi; ni ukoma.