Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wafilipi 4:2 - Swahili Revised Union Version

Namsihi Euodia, namsihi na Sintike, wawe na nia moja katika Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Euodia na Suntike, nawaombeni na kuwasihi mpatane kama ndugu katika Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Euodia na Suntike, nawaombeni na kuwasihi mpatane kama ndugu katika Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Euodia na Suntike, nawaombeni na kuwasihi mpatane kama ndugu katika Bwana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Namsihi Euodia, namsihi na Sintike, wawe na nia moja katika Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wafilipi 4:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.


Chumvi ni njema; lakini chumvi ikiwa si chumvi tena, mtaitia nini ikolee? Muwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa amani ninyi kwa ninyi.


Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu migawanyiko, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.


Lakini, hapo tulipofika na tuende katika lilo hilo.


mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;