Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wafilipi 4:16 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa hata huko Thesalonike mliniletea msaada kwa mahitaji yangu, wala si mara moja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilipokuwa nahitaji msaada kule Thesalonike mliniletea, tena zaidi ya mara moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilipokuwa nahitaji msaada kule Thesalonike mliniletea, tena zaidi ya mara moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilipokuwa nahitaji msaada kule Thesalonike mliniletea, tena zaidi ya mara moja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa hata huko Thesalonike mliniletea msaada kwa mahitaji yangu, wala si mara moja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wafilipi 4:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakiisha kupita kati ya Amfipoli na Apolonia wakafika Thesalonike, ambapo palikuwa na sinagogi la Wayahudi.


Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, nilitaka kuja mara kwa mara, lakini Shetani akatuzuia.


Maana, ndugu, mnakumbuka taabu yetu na masumbufu yetu; kwa kuwa mchana na usiku tulifanya kazi tusije tukamlemea mtu wa kwenu awaye yote, huku tukiwahubiria Injili ya Mungu.


Watu wetu nao wajifunze kudumu katika matendo mema, kwa matumizi yaliyo lazima, ili wasiwe hawana matunda.