Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wafilipi 2:18 - Swahili Revised Union Version

Nanyi vivyo hivyo furahini, tena furahini pamoja nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hali kadhalika nanyi mnapaswa kufurahi na kunishirikisha mimi furaha yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hali kadhalika nanyi mnapaswa kufurahi na kunishirikisha mimi furaha yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hali kadhalika nanyi mnapaswa kufurahi na kunishirikisha mimi furaha yenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vivyo hivyo, ninyi nanyi imewapasa kufurahi na kushangilia pamoja nami.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vivyo hivyo, ninyi nanyi imewapasa kufurahi na kushangilia pamoja nami.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nanyi vivyo hivyo furahini, tena furahini pamoja nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wafilipi 2:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi naomba msikate tamaa kwa sababu ya dhiki zangu kwa ajili yenu, zilizo utukufu wenu.


Naam, hata nikimiminwa juu ya dhabihu na ibada ya imani yenu, nafurahi; tena nafurahi pamoja nanyi nyote.


Lakini natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo afike kwenu karibu, nifarijiwe na mimi, nikiijua hali yenu.


Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana. Kuwaandikieni mambo yale yale hakuniudhi mimi, bali kutawafaa ninyi.


Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.