Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 6:7 - Swahili Revised Union Version

kwa nia njema kama kumtumikia Bwana wala si mwanadamu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Muwe radhi kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Muwe radhi kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Muwe radhi kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mngemtumikia, wala si wanadamu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana Isa na si wanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa nia njema kama kumtumikia Bwana wala si mwanadamu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 6:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mmejua ya kwamba kwa nguvu zangu zote nimemtumikia baba yenu.


Watumishi wake wakamkaribia, wakamwambia, wakasema, Baba yangu, kama yule nabii angalikuambia kutenda jambo kubwa, usingalilitenda? Je! Si zaidi basi, akikuambia, Jioshe, uwe safi?


Lakini Mungu na ashukuriwe, kwa maana mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mliitii kwa mioyo yenu ile namna ya elimu ambayo mliwekwa chini yake;


Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lolote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.


Lolote mfanyalo, lifanyeni kwa moyo, kama kwa Bwana, wala si kwa wanadamu,