Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 4:23 - Swahili Revised Union Version

na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili mfanywe upya katika roho ya nia zenu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili mfanywe upya roho na nia zenu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 4:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya na kuithibiti roho yangu.


Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao; nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama;


Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya; mbona mnataka kufa, enyi nyumba ya Israeli?


Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama.


Wala msifuate kanuni za dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima.


Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.


Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.


mkivaa utu mpya, unaofanywa upya katika ufahamu kulingana na mfano wake yeye aliyeuumba.


si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake, kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa mara ya pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu;


Kwa hiyo iweni tayari, na makini; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.