Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
Waebrania 11:2 - Swahili Revised Union Version Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao. Biblia Habari Njema - BHND Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao. Neno: Bibilia Takatifu Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya. Neno: Maandiko Matakatifu Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya. BIBLIA KISWAHILI Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa. |
Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
Kwa imani Habili alimtolea Mungu dhabihu iliyo bora kuliko Kaini; kwa hiyo alishuhudiwa kuwa ana haki; Mungu akazishuhudia sadaka zake, na kwa hiyo, ijapokuwa amekufa, angali akinena.