Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 22:13 - Swahili Revised Union Version

Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 22:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani aliyetenda na kufanya jambo hilo, aviitaye vizazi tangu mwanzo? Mimi, BWANA, wa kwanza na wa mwisho, mimi ndiye.


BWANA, Mfalme wa Israeli, Mkombozi wako, BWANA wa majeshi, asema hivi; Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu.


Nisikilize mimi, Ee Yakobo; na Israeli, niliyekuita; mimi ndiye. Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho pia.


Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi yake; naye atamtukuza mara.


ikisema, Haya uyaonayo uyaandike katika kitabu, ukayapeleke kwa hayo makanisa saba: Efeso, na Smirna, na Pergamo, na Thiatira, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.


Na kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika; Haya ndiyo aneneyo yeye aliye wa kwanza na wa mwisho, aliyekuwa amekufa, kisha akawa hai.


Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye aliye na kiu, maji kutoka chemchemi ya maji ya uzima, bure.


Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.