Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tito 3:10 - Swahili Revised Union Version

Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, tengana naye;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, tengana naye;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Tito 3:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao.


kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu, ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu.


Nimetangulia kuwaambia; na, kama vile nilipokuwapo mara ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo, nawaambia wazi wao waliotenda dhambi tangu hapo, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia;


Laiti hao wanaowatia mashaka wangejikata nafsi zao!


ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi,


Na ikiwa mtu awaye yote halishiki neno letu la barua hii, jihadharini na mtu huyo, wala msizungumze naye, apate kutahayari;


Ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu kutoka kwa kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.


walio na utaua kwa nje, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.


Lakini kulitokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia.


Mtu akija kwenu, naye haleti mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani mwenu, wala msimpe salamu.