Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tito 2:6 - Swahili Revised Union Version

Vivyo hivyo na vijana waume uwaonye kuwa na kiasi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vivyo hivyo, himiza vijana wawe na kiasi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vivyo hivyo, himiza vijana wawe na kiasi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Vivyo hivyo na vijana waume uwaonye kuwa na kiasi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Tito 2:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hao vijana waliniona wakanipisha, Nao wazee wakasimama kwa heshima;


Vijana wa kiume, na wanawali, Wazee, na watoto;


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.


Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, wa kiume na wa kike, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;


Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Mzee usimkemee, bali umwonye kama baba; na wanaume vijana kama ndugu;


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.


Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba.