Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tito 2:1 - Swahili Revised Union Version

Lakini wewe, nena mambo yanayoambatana na mafundisho mema;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho sahihi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho sahihi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho sahihi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bali wewe fundisha yale yaliyo sahihi kulingana na mafundisho ya kweli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Inakupasa kufundisha itikadi sahihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wewe, nena mambo yanayoambatana na mafundisho mema;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Tito 2:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na linginelo lolote lisilopatana na mafundisho ya kweli;


Mtu awaye yote akitoa mafundisho mengine, wala hayakubali maneno yenye uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo, wala mafundisho yapatanayo na utauwa,


Shika mfano wa mafundisho ya kweli uliyoyasikia kwangu, katika imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.


akilishika lile neno la imani vile vile kama alivyofundishwa, apate kuweza kuwaonya watu kwa mafundisho yenye uzima, na kuwashinda wenye kupinga.


Ni neno la kuaminiwa; na mambo hayo nataka uyasisitizie sana, ili wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Mambo hayo ni mazuri sana, tena yana manufaa kwa wanadamu.


Mtu akisema, na aseme kama asemaye maneno halisi ya Mungu; mtu akihudumu, na ahudumu kwa nguvu anazojaliwa na Mungu; ili Mungu atukuzwe katika mambo yote kwa Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye hata milele na milele. Amina.