Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 2:11 - Swahili Revised Union Version

Basi nikafika Yerusalemu, nikakaa huko muda wa siku tatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo nikafika Yerusalemu, nikakaa huko kwa siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo nikafika Yerusalemu, nikakaa huko kwa siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo nikafika Yerusalemu, nikakaa huko kwa siku tatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilienda Yerusalemu, na baada ya kukaa huko siku tatu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilienda Yerusalemu, na baada ya kukaa huko siku tatu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi nikafika Yerusalemu, nikakaa huko muda wa siku tatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 2:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Tukafika Yerusalemu, tukakaa huko muda wa siku tatu.


Kisha nikaondoka usiku, mimi pamoja na watu wachache; wala sikumwambia mtu neno hili alilolitia Mungu wangu moyoni mwangu, nilitende kwa ajili ya Yerusalemu; wala hapakuwa na mnyama pamoja nami, ila mnyama yule niliyempanda mwenyewe.