Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 12:9 - Swahili Revised Union Version

Tena Bakbukia na Uno, washiriki wenzao walisimama mkabala wao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena Bakbukia na Uno, washiriki wenzao walisimama mkabala wao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 12:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yoshua akamzaa Yoyakimu, Yoyakimu akamzaa Eliashibu, Eliashibu akamzaa Yoyada,


Nao wakuu wa Walawi; Hashabia, Sherebia, Yeshua, Binui, Kadmieli, na ndugu zao kuwaelekea, ili kusifu na kushukuru, kama amri ya Daudi, mtu wa Mungu, zamu kwa zamu.


Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.