Nehemia 12:13 - Swahili Revised Union Version wa Ezra, Meshulamu; wa Amaria, Yehohanani; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema wa Ezra, Mehulamu; wa Amaria, Yehohanani; Biblia Habari Njema - BHND wa Ezra, Mehulamu; wa Amaria, Yehohanani; Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza wa Ezra, Mehulamu; wa Amaria, Yehohanani; Neno: Bibilia Takatifu wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani; Neno: Maandiko Matakatifu wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani; BIBLIA KISWAHILI wa Ezra, Meshulamu; wa Amaria, Yehohanani; |
Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;
Naye Ezra, kuhani, akasimama juu ya mimbari ya mti, waliyokuwa wameitengeneza kwa kusudi hilo; na karibu naye wakasimama Matithia, na Shema, na Anaya, na Uria, na Hilkia, na Maaseya, mkono wake wa kulia; na mkono wake wa kushoto, Pedaya, na Misbaeli, na Malkiya, na Hashumu, na Hashbadani, na Zekaria, na Meshulamu.