Nehemia 10:7 - Swahili Revised Union Version Meshulamu, Abiya, Miyamini; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Meshulamu, Abiya, Miyamini, Biblia Habari Njema - BHND Meshulamu, Abiya, Miyamini, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Meshulamu, Abiya, Miyamini, Neno: Bibilia Takatifu Meshulamu, Abiya, Miyamini, Neno: Maandiko Matakatifu Meshulamu, Abiya, Miyamini, BIBLIA KISWAHILI Meshulamu, Abiya, Miyamini; |
na Seraya, mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi wa nyumba ya Mungu,
na makuhani, Eliakimu, Maaseya, Miyamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania, wenye baragumu;
Na lango la kale wakalijenga Yoyada, mwana wa Pasea, na Meshulamu, mwana wa Besodeya; wakazitia boriti zake, wakaisimamisha milango yake, na vyuma vyake, na makomeo yake.
Naye Ezra, kuhani, akasimama juu ya mimbari ya mti, waliyokuwa wameitengeneza kwa kusudi hilo; na karibu naye wakasimama Matithia, na Shema, na Anaya, na Uria, na Hilkia, na Maaseya, mkono wake wa kulia; na mkono wake wa kushoto, Pedaya, na Misbaeli, na Malkiya, na Hashumu, na Hashbadani, na Zekaria, na Meshulamu.