Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 10:11 - Swahili Revised Union Version

Mika, Rehobu, Hashabia;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mika, Rehobu, Hashabia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mika, Rehobu, Hashabia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mika, Rehobu, Hashabia,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mika, Rehobu, Hashabia,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mika, Rehobu, Hashabia,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mika, Rehobu, Hashabia;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 10:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Mefiboshethi alikuwa na mwana mdogo, jina lake akiitwa Mika. Na watu wote waliokaa nyumbani mwa Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.


na Hashabia, na pamoja naye Yeshaya, wa wana wa Merari, na ndugu zake na wana wao, watu ishirini;


Ndipo nikawatenga watu kumi na wawili wa wakuu wa makuhani, nao ni Sherebia, na Hashabia, na watu kumi wa ndugu zao pamoja nao,


na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;


Zakuri, Sherebia, Shebania;


Na wa Walawi; Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;


Naye msimamizi wa Walawi huko Yerusalemu, ni Uzi, mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, hao waimbaji, alikuwa juu ya kazi ya nyumba ya Mungu.


Nao wakuu wa Walawi; Hashabia, Sherebia, Yeshua, Binui, Kadmieli, na ndugu zao kuwaelekea, ili kusifu na kushukuru, kama amri ya Daudi, mtu wa Mungu, zamu kwa zamu.