Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nahumu 1:13 - Swahili Revised Union Version

Na sasa nitakuvunjia nira yake, nami nitayakata mafungo yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sasa nitaivunja nira ya Ashuru shingoni mwenu, na minyororo waliyowafungia nitaikatakata.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sasa nitaivunja nira ya Ashuru shingoni mwenu, na minyororo waliyowafungia nitaikatakata.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sasa nitaivunja nira ya Ashuru shingoni mwenu, na minyororo waliyowafungia nitaikatakata.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako, nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako, nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na sasa nitakuvunjia nira yake, nami nitayakata mafungo yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nahumu 1:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Aliwatoa katika giza na uvuli wa mauti, Akaivunja minyororo yao.


Tena itakuwa katika siku hiyo mzigo wake utaondoka begani mwako, na nira yake shingoni mwako, nayo nira itaharibiwa, kwa sababu ya kutiwa mafuta.


kwamba nitamvunja huyo Mwashuri vipande vipande katika nchi yangu, na juu ya mlima wangu nitamkanyaga chini ya miguu yangu; ndipo nira yake iliyo juu yao itakapoondoka, na mzigo wake utatoka mabegani mwao.


Kwa maana umeivunja nira ya mzigo wake, na gongo la bega lake, na fimbo yake yeye aliyemwonea, kama katika siku ya Midiani.


Kwa maana tangu zamani wewe umeivunja nira yako, na kuvipasua vifungo vyako; ukasema, Mimi sitatumika; kwa maana juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi, umejiinamisha, ukafanya mambo ya ukahaba.


nitawaendea watu wakubwa, nami nitasema nao; kwa maana hao wanaijua njia ya BWANA, na hukumu ya Mungu wao. Bali hawa kwa nia moja wameivunja nira, na kuvikata vifungo.


Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu, niliyewaleta mtoke katika nchi ya Misri, ili msiwe watumwa wao; nami nimeivunja miti ya kongwa lenu, nikawafanya mwende sawasawa.