Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:17 - Swahili Revised Union Version

Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mahalaleli aliishi jumla ya miaka mia nane tisini na tano (895), ndipo akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:17
2 Marejeleo ya Msalaba  

Mahalaleli akaishi baada ya kumzaa Yaredi miaka mia nane na thelathini, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Yaredi akaishi miaka mia moja na sitini na miwili, akamzaa Henoko.