Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 43:13 - Swahili Revised Union Version

Mtwaeni na ndugu yenu, mwondoke na kurudi kwa mtu yule.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mchukueni pia ndugu yenu mwende kwa huyo mtu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mchukueni pia ndugu yenu mwende kwa huyo mtu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mchukueni pia ndugu yenu mwende kwa huyo mtu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mchukueni ndugu yenu pia, mrudi kwa huyo mtu mara moja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mchukueni ndugu yenu pia mrudi kwa huyo mtu mara moja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtwaeni na ndugu yenu, mwondoke na kurudi kwa mtu yule.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 43:13
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Mwanangu hatashuka pamoja nanyi, maana nduguye amekufa, naye amesalia peke yake; mabaya yakimpata katika njia mtakayoiendea ndipo mtakaposhusha mvi zangu kwa sikitiko mpaka kaburini.


Mkatwae fedha maradufu mikononi mwenu, na fedha zile zilizorudishwa kinywani mwa magunia yenu zirudisheni mikononi mwenu; labda zilisahauliwa.


Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.