Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 34:18 - Swahili Revised Union Version

Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pendekezo lao likakubalika kwa Hamori na Shekemu mwanawe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 34:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kama hamtusikii na kutahiriwa, basi tutamtwaa binti yetu, nasi tutakwenda zetu.


Na yule kijana hakukawia kulifanya neno lile, maana amependezewa na binti Yakobo, naye alikuwa mwenye heshima kuliko wote nyumbani mwa babaye.


Habari ikasikika nyumbani mwa Farao kusema, Ndugu zake Yusufu wamekuja. Ikawa vema machoni pa Farao, na machoni pa watumishi wake.