Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 33:7 - Swahili Revised Union Version

Lea naye, na wanawe, wakakaribia wakainama. Baadaye Yusufu na Raheli wakakaribia, wakainama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hali kadhalika Lea akaja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Hatimaye, Raheli na Yosefu wakaja, wakainama kwa heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hali kadhalika Lea akaja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Hatimaye, Raheli na Yosefu wakaja, wakainama kwa heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hali kadhalika Lea akaja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Hatimaye, Raheli na Yosefu wakaja, wakainama kwa heshima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yusufu na Raheli, nao pia wakasujudu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yusufu na Raheli, nao pia wakasujudu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lea naye, na wanawe, wakakaribia wakainama. Baadaye Yusufu na Raheli wakakaribia, wakainama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 33:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wale vijakazi, na wana wao, wakakaribia wakainama.


Akasema, Kundi hili lote nililokutana nalo, maana yake ni nini? Akasema, Ili kunipatia kibali machoni pa bwana wangu.