Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:34 - Swahili Revised Union Version

Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Labani akasema, “Vema! Na iwe kama ulivyosema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Labani akasema, “Vema! Na iwe kama ulivyosema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Labani akasema, “Vema! Na iwe kama ulivyosema.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Labani akasema, “Ninakubali; na iwe kama ulivyosema.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Labani akasema, “Ninakubali na iwe kama ulivyosema.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na haki yangu itanishuhudia katika siku zijazo, utakapokuja kwa habari ya mshahara wangu ulioko kwako. Kila asiye madoadoa au marakaraka katika mbuzi, au asiye mweusi katika kondoo, akionekana kwangu, itahesabiwa kuwa ameibiwa.


Basi akatoa siku ile mbuzi dume walio na milia na madoadoa, na mbuzi wake walio na madoadoa na marakaraka, kila aliye na doa jeupe, na kondoo wote waliokuwa weusi, akawatia mikononi mwa wanawe.


Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi.


Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kutoa unabii, maana yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa.


Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; lakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.


Laiti hao wanaowatia mashaka wangejikata nafsi zao!