Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:19 - Swahili Revised Union Version

Lea akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lea akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa sita wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lea akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa sita wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lea akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa sita wa kiume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lea akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lea akapata mimba tena akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lea akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Labani alikuwa na binti wawili, jina la mkubwa ni Lea, na jina la mdogo ni Raheli.


Lea akasema, Mungu amenipa ujira wangu, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu. Akamwita jina lake Isakari.


Lea akasema, Mungu amenipa mahari njema, sasa mume wangu atakaa nami, kwa kuwa nimemzalia wana sita. Akamwita jina lake Zabuloni.


Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.


Na mpakani mwa Isakari, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Zabuloni, fungu moja.


Na wana wa Zabuloni kwa jamaa zao; wa Seredi, jamaa ya Waseredi; wa Eloni, jamaa ya Waeloni; wa Yaleeli, jamaa ya Wayaleeli.